Zum Inhalt springen

TWM Bibliothek

Buch

Details, Verfügbarkeit und ähnliche Titel.

Buchdetails

Zurück zur Suche
Barua Ndefu Kama Hii

Barua Ndefu Kama Hii

von Ba, Mariama

Fiction African Literature Women's Studies
ISBN

9976973217

Verlag

Mkuki na Nyota Publishers

Erschienen

01.08.2011

Dieses Buch ist aktuell ausleihbar.

Komme während der Öffnungszeiten vorbei und leihe ein verfügbares Exemplar aus.

Stichwörter

African literature Senegal Women's fiction Polygamy Marriage Family dynamics Inheritance Cultural traditions Grief Feminism Classic literature Swahili translation French original Noma Award 20th century literature Social commentary Gender roles African society Literary award winner Translated works

Über dieses Buch

Ramatoulaye, mwanamke Msenegali ameolewa na Mody, mtu mzito serikalini. Baada ya miaka mingi ya ndoa Modu anaoa mke mwingine, msichana mdogo mwenye umri sawa na wa binti yake. Ramatolaye anasahauliwa; pesa na mapenzi vinahamia kwa mke mdogo. Modu anakufa katika ajali ya gari. Nani atakayerithi mali za marehemu? Halafu kuna umati uliokuja kwenye kilio ambao “lazima ulishwe na upewe pesa kwa heshima ya marehemu”. Mariana Ba, mwandishi wa riwaya hii, alikuwa wa kwanza kupewa tuzo ya Noma mwaka 1980. Riwaya hii imetafsiriwa katika lugha kumi na nane na umaarufu wake unazidi kukua. The original publication was in French, Une si longue lettre; and this is the Swahili translation from the English, translated by the late Professor Maganga. Une si longue lettre is a classic of the African canon, winning the first Noma Award for Publishing in Africa in 1980, and translated into 17 other languages.

Exemplarstatus

1 von 1 verfügbar
Exemplar #B661-C0001 Verfügbar